TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA MKOA WA LINDI
Posted on: June 22nd, 2021![](http://sokoinerrh.go.tz/storage/app/uploads/public/60d/1f0/4ee/thumb_76_800_420_0_0_crop.jpg)
Wametoa mafunzo leo tarehe 22/06/2021 kwa watumishi wa Hospitali ya Mkoa Sokoine ambayo yamehusisha watumishi wa kada mbalimbali, Lengo ni kuongeza uelewa kwa watumishi wa umma.