Bodi
|
HOSPITALI YA MKOA YA RUFAA SOKOINE-LINDI |
||||
|
ORODHA YA WAJUMBE WA BODI 2025/2026-2027/2028 |
||||
|
NA |
JINA |
ELIMU |
CHEO |
WADHIFA |
|
1 |
AMINA PEMBA |
SHAHADA YA SOSHOLOJIA NA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA KILIMO NA ELIMU |
AFISA KILIMO MSTAAFU WILAYA YA LINDI |
M/KITI |
|
2 |
DKT ALEXANDER MAKALLA |
SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UPASUAJI |
MGANGA MFAWIDHI WA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA SOKOINE LINDI |
KATIBU |
|
3 |
DKT HENRY KAGYA |
SHAHADA YA UZAMILI KATIKA AFYA YA UMMA |
OFISI YA MGANGA MKUU WA MKOA LINDI |
MJUMBE |
|
4 |
BEATRIX LILAI |
ASTASHAHADA YA UUGUZI NA UKUNGA |
MUUGUZI MSTAAFU KATIKA HOSPITALI YA MKOA SOKOINE |
MJUMBE |
|
5 |
DKT RAJABU OMARI SHEGILA |
SHAHADA YA UDAKTARI WA BINADAMU |
MGANGA MFAWIDHI WA KITUO CHA AFYA MNAZI MMOJA |
MJUMBE |
|
6 |
ANGEL P. KESSY |
SHAHADA YA UCHUMI WA KIMATAIFA NA BIASHARA |
MWENYEKITI WA JUKWAA LA UWEZESHAJI WA WANAWAKE KIUCHUMI MKOA WA LINDI |
MJUMBE |
|
7 |
MBWANA MWINYIKOMBO |
SHAHADA YA SAYANSI KATIKA MFUMO WA HABARI ZA BIASHARA |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI |
MJUMBE |
|
8 |
MARIAM KASSIM KASHULWE |
SHAHADA YA SHERIA NA SHAHADA YA JUU YA MAFUNZO YA SHERIA KWA VITENDO |
OFISI YA MUENDESHA MASHITAKA YA SERIKALI LINDI |
MJUMBE |
|
9 |
ZUHURA ABDALLAH |
KIDATO CHA NNE |
MWALIMU MSTAAFU |
MJUMBE |
|
10 |
SEMENI MTUMWA JALIKA |
SHAHADA YA UHASIBU |
OFISI YA MKUU WA MKOA LINDI AFISA HESABU |
MJUMBE |





