MAFUNZO KUTOKA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA MKOA WA LINDI

image description

Tuesday 16th, April 2024
@SOKOINE REGION REFFERAL HOSPITAL

Yametolewa mafunzo leo tar 22/06/2021 kwa watumishi wa Hospitali ya mkoa wa sokoine ambayo yamehusisha watumishi wa kada mbalimbali, Lengo ni kuongeza uelewa kwa watumishi wa umma